HABARI KUU:

GACHAGUA ALIYEMUITA RAILA MAJINA SASA AMMEZEA MATE 2027..//..LUSAKA AMKAUKIA SENETA ONYONKA KWA KUMUITA MPUMBAVU!..//..GEN Z WA BANGALADESH WAVAMIA IKULU YA WAZIRI MKUU..//..AJALI SACHANGWAN HUKU WANAFUNZI 25 NA WAALIMU 3 WAKIPATA MAJERAHA MABAYA..//..MGOMBEA urais wa Chama cha Democrat Kamala Harris amemteua Gavana wa Minnesota Tim Walz kuwa mgombea mwenza wake katika uchaguzi wa urais wa Novemba 5, mwaka huu.// AMERIKA imeonya serikali ya Kenya Kwanza dhidi ya kutumia nguvu kupita kiasi kukabili waandamanaji na kutaka hatua za haraka zichukuliwe dhidi ya ukiukaji wa haki za binadamu..//GAVANA wa Meru Kawira Mwangaza anataka Mahakama Kuu kuwahukumu maafisa wawili wa bunge la kaunti na MCA aliyeteuliwa kwa madai walidharau mahakama, akisema walipuuza maagizo ya korti kwa kukusudia kumtimua kwa mara ya tano.

Monday 5 August 2024

GEN Z WA BANGALADESH WAVAMIA IKULU YA WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu wa Bangladesh, Sheikh Hasina Wazed amejiuzulu na kuondoka nchini humo, baada ya wiki kadhaa za maandamano yaliyoongozwa na wanafunzi na kupelekea machafuko makubwa nchini kote. Ripoti zinasema, bibi huyo mwenye umri wa miaka 76 alikimbia kwa helikopta Jumatatu hadi India, wakati maelfu ya waandamanaji wakivamia makazi yake katika mji mkuu wa Dhaka. Hilo limemaliza utawala wa Waziri Mkuu aliyekaa madarakani kwa muda mrefu zaidi nchini Bangladesh, kwa zaidi ya miaka 20 jumla. Anasifiwa kwa kusimamia maendeleo ya kiuchumi ya nchi hiyo ya Kusini mwa Asia, hata hivyo katika miaka ya hivi karibuni Bi Hasina ameshutumiwa kwa kugeuka kuwa kiongozi wa kiimla. Aliingiaje madarakani? Alizaliwa katika familia ya Kiislamu huko Bengal Mashariki mwaka 1947, Bi Hasina anatokea familia ya wanasiasa. Baba yake Sheikh Mujibur Rahman, 'Baba wa Taifa' la Bangladesh, alikuwa kiongozi mzalendo aliyeongoza uhuru wa nchi hiyo kutoka Pakistan mwaka 1971 na kuwa rais wa kwanza. Wakati huo, Bi Hasina alikuwa tayari anajuulikana kwa kuwa kiongozi wa wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dhaka. Rahman aliuawa pamoja na watu wengi wa familia yake katika mapinduzi ya kijeshi mwaka 1975. Bi Hasina na dadake mdogo ndio pekee walionusurika kwani walikuwa safarini nje ya nchi wakati huo. Baada ya kuishi uhamishoni nchini India, Bi Hasina alirejea Bangladesh mwaka 1981 na kuwa kiongozi wa chama cha kisiasa cha babake, Awami League. Aliungana na vyama vingine vya kisiasa kufanya maandamano mitaani ya kuunga mkono demokrasia, wakati wa utawala wa kijeshi wa Jenerali Hussain Muhammed Ershad. Vuguvugu hilo lilimfanya Bi Hasina akawa mwanasiasa wa kitaifa haraka sana. Aliingia madarakani kwa mara ya kwanza mwaka 1996. Alipata sifa kwa kutia saini mkataba wa kugawana maji na India na mapatano ya amani na waasi kusini-mashariki mwa nchi hiyo. Lakini wakati huo huo, serikali yake ilikosolewa kwa mikataba mingi ya kibiashara inayodaiwa kuwa ni mbovu na kwa kuwa mtiifu sana kwa India. Baadaye alishindwa na mshirika wake wa zamani aliyegeuka kuwa mpinzani, Bi Begum Khaleda Zia wa chama cha Bangladesh Nationalist Party (BNP), mwaka 2001. Wanawake wote wawili wametawala siasa za Bangladesh kwa zaidi ya miongo mitatu na wanajulikana kama "Begums wanaovutana." Begum ina maana ya mwanamke wa Kiislamu wa daraja la juu. Waangalizi wanasema ushindani wao mkali umesababisha mlipuko wa mabomu katika mabasi, kutoweka na mauaji ya kiholela ya mara kwa mara. Bi Hasina hatimaye alirejea mamlakani mwaka 2009 katika uchaguzi uliofanyika chini ya serikali ya mpito. Akiwa mwathirika wa kisiasa, amekamatwa mara kadhaa akiwa upinzani na vile vile majaribio kadhaa ya kumuua, likiwemo moja la mwaka 2004 ambalo liliharibu usikivu wake. Pia amenusurika juhudi za kumlazimisha Kwenda uhamishoni kwa kesi nyingi mahakamani zinazomshutumu kwa ufisadi. Mafanikio yake ni yapi? Bangladesh, taifa lenye Waislamu wengi, lilikuwa mojawapo ya mataifa maskini zaidi duniani, limepata mafanikio makubwa ya kiuchumi chini ya uongozi wake tangu 2009. Sasa ni moja wapo ya taifa lenye uchumi unaokua kwa kasi katika eneo hilo, hata kupita jirani yake mkubwa India. Pato la taifa kwa mtu mmoja limeongezeka mara tatu katika muongo uliopita na Benki ya Dunia inakadiria kuwa zaidi ya watu milioni 25 wameondokana na umaskini katika miaka 20 iliyopita. Sehemu kubwa ya ukuaji huu imechochewa na sekta ya nguo, ambayo inachangia idadi kubwa ya mauzo ya nje ya nchi na sekta hiyo imekuwa katika miongo ya hivi karibuni, ikisambaza nguo katika masoko ya Ulaya, Amerika Kaskazini na Asia. Serikali ya Bi Hasina imefanya miradi mikubwa ya miundombinu kwa kutumia fedha za nchi hiyo, mikopo na usaidizi wa maendeleo, ikiwa ni pamoja na daraja kubwa la Padma lililogharimu dola za kimarekani bilioni 2.9 huko Ganges.

AJALI SACHANGWAN HUKU WANAFUNZI 25 NA WAALIMU 3 WAKIPATA MAJERAHA MABAYA

WANAFUNZI 26, walimu watatu na mpishi mmoja wa shule ya Rockside Academy, Nairobi wanapokea matibabu katika Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Nakuru na Hospitali ya Kaunti Ndogo ya Molo baada ya gari lao kuhusika katika ajali eneo la Sachangwan, Nakuru, Jumatatu, Agosti 5, 2024. Kwa mujibu wa Kamanda ya Polisi wa Kaunti Ndogo ya Molo Timon Odingo, basi hilo la shule lilikuwa likiwasafirisha wanafunzi kutoka Eldoret ambako walikuwa wameshiriki tamasha za muziki zinazoendelea. Ajali hiyo ilitokea mwendo wa saa saba za mchana baada ya lori kutoka nyuma kupoteza mwelekeo na kugonga basi hilo kutoka nyuma. Baadaye lori hilo liligonga magari mengine mawili ya kibinafsi hadi yakaanguka kwenye mtaro kando ya barabara. Watu 30 walipata majeraha katika ajali hiyo, japo waliokuwa kwenye magari ya kibinafsi hawakuathiriwa. Maafisa wa polisi walipowasili katika eneo la ajali wenyeji na wasamaria wema walikuwa tayari wamewaondoa waathiriwa. “Waliojeruhiwa wamekimbizwa hospitalini na sasa wanapokea matibabu. Kwa bahati nzuri hakuna aliyekufa. Maafisa wa polisi wametumwa hospitali kuendeleza uchunguzi,” Bw Odingo akasema.

Friday 19 July 2024

RAIS RUTO AKOSOLEWA KWENYE BARAZA LAKE JIPYA LA WATU 11 AKIWAHUSISHA WALIOFURUSHWA

Rais william ruto hatimaye ametangaza baraza la mawazi ambayo kwa sasa inakosolewa pakubwa na watu mbalimbali.je atayaweza Interior - Kithure Kindiki Health - Dr. Debra Mulongo Barasa Public Works - Alice Wahome Education - Julius Ogamba Defence - Aden Duale Agriculture - Dr. Andrew Karanja Environment - Soipan Tuya Water - Eric Muriithi Roads - Davis Chirchir ICT - Dr. Margaret Ndungu AG - Rebecca Miano

Wednesday 17 July 2024

KITUO CHA PEPEA RADIO SASA YASIKIKA VYEMA MTANDAONI

Sasa unawezasikiliza pepea radio inakuwa kivutio kikubwa kwenye mtandao kwa burudani tosha.bonyeza tu hii link hapa upate uhondo https://zeno.fm/radio/pepea-radio/ ama tafuta tu PEPEA RADIO kwenye google search

WANAHABARI WAPANGA MAANDAMANO TAREHE 24 JULAI

JUMATANO, Julai 24, 2024, itakuwa zamu ya wanahabari kujitokeza barabarani kote nchini kwa maandamano ya kupinga dhuluma wanazotendewa na polisi wakiwa kazini. Akitoa ilani kuhusu maandamano hayo, rais wa Chama cha Wahariri Nchini (KEG) Zubeida Kananu Jumatano alilaani visa vya wanahabari kushambuliwa na polisi wakiwa kazini akisema vinahujumu uhuru wao ambao unalindwa na katiba. Bi Kananu alitoa mifano ya visa vya hivi punde vya kupigwa risasi kwa ripota wa Shirika la Habari la Mediamax Catherine Wanjeri Kariuki na polisi wakikabiliana na waandamanaji mjini Nakuru na kutekwa nyara kwa mwanahabari mkongwe Macharia Gaitho na watu waliodaiwa kuwa maafisa wa polisi. “Kwa hivyo, tumekubaliana kwamba mnamo Jumatano wiki ijayo wanahabari watafanya maandamano kulaani vitendo kama hivi vya kikatili wanavyotendewa na polisi wanapotekeleza majukumu yao,” akasema alipoandamana na Bw Gaitho kuandikisha taarifa katika Afisi za Mamlaka ya Kuchunguza Utendakazi wa Polisi (IPOA). Hii ni kufuatia kisa cha Jumatano asubuhi ambapo mwanahabari huyo alitekwa mara na watu waliodai kuwa wao ni maafisa wa upelelezi kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI). Bw Gaitho alitendewa unyama huo katika Kituo cha Polisi cha Karen alikokimbilia baada ya kubaini kuwa alikuwa akiandamwa na maafisa hao waliokuwa kwenye gari la kibinafsi. Hata hivyo, baadaye DCI ilitoa taarifa ikidai maafisa wake walimkamata Bw Gaitho kimakosa kwani walikuwa wakimlenga mwanablogu Francis Gaitho. Bi Kananu alisema kuwa maandamano ya wanahabari yatakuwa ya amani na washiriki hawajihami kwa vitu vya kutishia amani. “Hatutajihami kwa mawe wala marungu, bali tutabeba kamera zetu, vijitabu na kalamu miongoni mwa vyombo vingine vya kazi. Sharti ulimwengu mzima ujue maovu yanayotendewa wanahabari nchini Kenya,” Bi Kananu akasema, akisisitiza. Katibu Mkuu wa Muungano wa Wanahabari Nchini (KUJ) Eric Oduor amethibitisha mipango ya maandamano hayo na kuwataka wanahabari wote nchini kushiriki. “Tutamjulisha rasmi Kaimu Inspekta Jenerali Douglas Kanja kuhusu nia yetu ya wanachama wetu kufanya maandamano kote nchini Jumatano wiki ijayo kupinga mwenendo wa polisi kushambulia wanachama wetu wakiwa kazini,” Bw Odour akaambia umma kwa njia ya simu.

SIMANZI KENYA JAJI OGEMBO AAGA DUNIA

Marehemu Jaji Daniel Ogembo, alipatikana Jumatano, Julai 17, 2024 akiwa ameaga dunia katika makazi yake rasmi mjini Siaya. Alitarajiwa kuongoza kikao asubuhi katika majengo ya Mahakama Kuu ya Siaya lakini akakosa kujitokeza hali iliyoibua shaka. Jaji Ogembo amehudumu kwa miaka miwili katika Mahakama Kuu ya Siaya alipokuwa jaji mkazi. Kamanda wa Polisi, Kaunti ya Siaya, Cleti Kimaiyo, alithibitisha kifo chake na kusema polisi na Idara ya Kuchunguza Uhalifu (DCI) imeanzisha uchunguzi kuhusu tukio hilo. “Tutawafahamisha kuhusu matokeo, bado tunachunguza kiini cha kifo chake,” alisema mkuu wa polisi kaunti hiyo. Kulingana na afisa mmoja wa mahakama aliyechelea kutajwa kwa sababu ya uzito wa suala hilo, Jaji Ogembo alipatikana akiwa mfu asubuhi baada ya kukosa kujibu dereva wake alipokwenda kumchukua nyumbani kwake. “Dereva alimpeleka nyumbani Jumanne jioni lakini aliporejea asubuhi, jaji hakujibu hali iliyofanya dereva kuripoti kwa maafisa katika korti ya Siaya,” alisema afisa huyo wa ngazi ya juu. Kifo cha Jaji Ogembo kililemaza vikao vya korti huku wafanyakazi wakikumbwa na mshtuko kufuatia habari hizo. Kifo cha Jaji Ogembo kimetokea hata kabla ya wiki kuisha baada ya Jaji David Majanja kufariki dunia. Mwezi uliopita, Hakimu Mkuu wa Korti ya Makadara, Monicah Kivuti, aliuawa kwa kupigwa risasi na afisa mkuu wa polisi kutoka kituo cha Londiani.

Friday 30 June 2023

PEPEA RADIO NOW ONLINE

first started like ajoke but finally the dream has become true.A radio owned by TRANSMEDIA AFRICA LTD. Is set to be launched offgicially soon as it has already started airing its programmes.Peter Mukabi the owner of the statio reteriated that he consider mostly creativ mind.He told our newsdesk the radio stion wilat large cover news,east africa music and other related things.Peter Mukabi is one of the longest serving radio journalist in kenya. Sources indicates that most people across the world now tune into the stion.Mukabi revealed to us that he will be streaming alsso church events so that to reach deaper audiency.Talented youths are also encouraged to send application and proposalPeter Mukabi is the CEO of the statio

Friday 10 February 2023

BECKY AMWOGAH GOSPEL QUEEN FROM BUNGOMA

BECKY AMWOGAH

Brought up from a humble background,Becky Amwogah is one of the fasted growing gospel artist in kenya.Becky who started singing few years ago came to limelight after attending events and perform publicly.

According to our source Becky who comesfrom kakamega county and lives in bungoma is set to release her new song soon titled MAISHA YANGU which represents those who are discouraged and are looking upon the lord for their hopes.


Becky one of the living testimony who are ever fresh with full of ideas making the industry juicy 

Sunday 5 February 2023

AMANI NDIO NJIA TU ASEMA PAPA FRANCIS

 JUBA, SUDAN KUSINI

PAPA FRANCIS

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Ulimwenguni Papa Francis ametoa wito kwa viongozi wa Sudan Kusini kuweka “mwanzo mpya” wa amani nchini humo.

Akiongea Ijumaa alipoanza ziara ya siku tatu katika nchi hiyo iliyozongwa na vita Papa huyo alionya kwamba historia itawahukumu vibaya viongozi hao kwa vitendo vyao.

“Mchakato wa amani na maridhiano unahitaji kuanzishwa upya,” Francis mwenye umri wa miaka 86, akasema kwenye hotuba yake katika Ikulu ya Rais jijini Juba, Sudan Kusini.

Alitaka juhudi kabambe ziendeshwe kukomesha kabisa katika taifa hilo changa zaidi duniani.

“Vizazi vijavyo, ama vitatukuza majina yenu au kuyafuta katika kumbukumbu zao, kwa misingi ya yale mnafanya sasa,” akaambia hadhira iliyowaleta pamoja Rais Salva Kiir, Naibu wake wa kwanza Riek Machar, wanadiplomasia, viongozi wa kidini na wafalme wa kitamaduni miongoni mwa watu wengine.

Tangu Sudan Kusini ilipotangazwa kuwa huru kutoka Sudan mnamo 2011, amani haijashuhudiwa katika nchi hiyo inayozongwa na umaskini.

Mwa miaka mitano, wanajeshi waaminifu kwa Kiir na wale ambao ni watiifu kwa Machar wamekuwa wakipigana. Mapigano hayo yamesababisha vifo vya watu 380,000 na wengine milioni nne wakafurushwa makwao.

“Mkomeshe umwagaji damu, mkomeshe vita na hali ya kulaumiana kuhusu ni nani mhusika. Msiwaache watu wenu na kiu ya amani. Wanataka amani haraka,” Francis akasema.

Ziara hiyo ya amani ni ya kwanza kwa Papa kufanya nchini Sudan Kusini tangu nchi hiyo – ambako raia wengi ni Wakristo – kupata uhuru kutoka Sudan yenye idadi kubwa ya Waislamu.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki alitua nchini baada ya kufanya ziara ya siku nne katika nchini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Vita vimechacha mashariki mwa nchini hiyo yenye utajiri mkubwa wa madini.

Watu wengi, ambao walipiga foleni katika barabara za Jubaa kwa saa kadhaa kubla ya Papa kuwasili, walishangilia msafara wake uliopitia barabara zilizowekwa lami juzi.

Watu wengine walipiga magoti alipopita akiwapungia mkono.

Wengine walivalia mavazi ya kitamaduni au mavazi ya kidini, huku wengine wakipiga firimbi, kupuliza pembe na kuimba nyimbo za kikristo.

Kando na viongozi wa kisiasa, Papa Francis pia anatarajiwa kukutana na waathiriwa wa mapigano, viongozi wa makanisa na kuongoza ibada kubwa leo. Watu wengi wanatarajiwa kuhudhuria ibada hiyo.

Ziara hiyo ya Papa, ya tano barani Afrika, ilikuwa imepangiwa kufanyika 2022 lakini ikaahirishwa kwa baada ya Kiongozi huyo kukumbwa na tatizo la goti.

Tatizo hilo limefanya kutembea kwa kutumia viti vya magurudumu.

Mnamo 2019, Francis alitoa ahadi ya kuzuru Sudan Kusini alipokutana na Rais Kiir na Dkt Machar waliomtembea jijini Vatican. Aliwataka kuheshimu mkataba wa amani kwa manufaa ya raia wao.


    RAILA KUVUNA KWA VITA VYA RUTO NA UHURU

    KIONGOZI WA UPINZANI RAILA ODINGA

    VITA vipya vilivyochipuza kati ya Rais William Ruto na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta huenda vikamfaidi kiongozi wa upinzani Raila Odinga katika vita vyake dhidi ya utawala wa Kenya Kwanza. Wadadisi wa masuala ya kisiasa sasa wanasema nipe nikupe hiyo kati ya Rais Ruto na Bw Kenyatta itampa Bw Odinga nguvu zaidi ya kuiponda serikali, kuiyumbisha na hata kuikosesha nafasi ya kutekeleza ahadi nyingi ilizotoa kwa Wakenya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2022. “Ikiwa joto hili la uhasama ambalo limechipuza tena kati ya Rais Ruto na Rais mstaafu halitapoeshwa kwa njia ya upatanisho, Raila ambaye ameanzisha msururu wa mikutano ya hadhara kote nchini ya kuipaka tope serikali hii changa atampa motisha mpya,” mchanganuzi wa msuala ya kisiasa Javas Bigambo amenukuliwa akisema. Anaongeza: “Raila atatumia nafasi hii kueneza ujumbe kwa wananchi kwamba serikali hii haina ajenda zozote za maendeleo zenye manufaa kwao ila inaongozwa na nia ya kulipiza kisasi dhidi ya wale aliowasawiri kama mahasidi wake, haswa, Rais Kenyattaa ambaye alimpokeza mamlaka kwa amani.” Akiongea mjini Mombasa Jumatatu alipofungua mkutano wa wabunge Rais Ruto alionekana kumshambulia Bw Kenyatta akidai ndiye amekuwa akifadhili mikutano ya Raila ya kupinga serikali ilia apate nafasi ya kukwepa kulipa ushuru. “Hata kama wanadhamini maandamano, ningetaka kuhakikishia kuwa sharti walipe ushuru. Sharti tuwe na nchi ambapo kila mtu analipa ushuru,” akasema, akiongeza: “Sirejelei ushuru mpya bali zile ambazo ni halali na zimeidhinishwa na Bunge. Rais alifananisha mienendo ya watu mashuhuri nchini, ambao hakuwataja, wa kukwepa ushuru na hali inayosawiriwa katika riwaya ya “Shamba la Wanyama” ambapo wanyama baadhi ya wanyama ni bora kuliko wengine. “Hatuko katika Shamba la Wanyama ambapo watu wengine ni bora kuliko wenzao. Sharti sote tulipe ushuru. Haijalishi idara ya mikutano ambayo utadhamini kuyumbisha ajenda yetu. Sharti ulipe ushuru,” akaongeza Dkt Ruto aliyeonekana mwenye ghadhabu. Rais alionekana kurejelea Bw Kenyatta, japo hakumtaja jina moja kwa moja. Lakini Rais huru mstaafu amejibu madai hayo akayataja kama “kilele za watu ambao wameshindwa kufanya kazi waliyopewa.” Rais Ruto alitoa kauli yake baada ya mwanablogu na mwanaharakati wa Kenya Kwanza Denis Itumbe kudai kuwa mikutano ya hadhara ya Bw Odinga inadhamini na “mtu fulani ambaye ambaye hataki watu walipe ushuru baada ya yeye na familia yake kukinga na sheria fulani kongwe kulipa ushuru kwa mali wanayomiliki.” Bw Itumbe aliweka mitandaoni sehemu ya Sheria ya zamani kuhusu Ardhi, “Estate Duty Act, Cap 483” iliyokinga familia za Rais wa kwanza Jomo Kenyatta na Rais wa Pili Daniel Arap Moi dhidi ya kulipa ushuru kwa ardhi kubwa zinazomiliki. Lakini baada ya Rais Ruto kutoa cheche kuhusu suala hilo la ushuru, maseneta watatu waliochaguliwa kwa tiketi ya chama cha United Democratic Alliance (UDA), John Methu (Nyandarua), James Murango (Kirinyaga na mwenzao wa Nyeri Wahome Wamatinga walimshambulia, moja kwa moja, Bw Kenyatta wakidai anatumia pesa alizokwepa kulipa kama ushuru kuhujumu serikali ya Kenya Kwanza. “Sisi kama viongozi tunaowawakilisha raia, hatuwezi kunyama huku mtu kama Rais mstaafu Uhuru Kenyatta akwepa ushuru na kutumia pesa hizo kufadhili maandamano na mikutano inayolenga kuvuruga amani nchini. Hivi karibuni tutadhamini mswada wa kubatilisha sheria hii inayokinga familia za Kenyatta na Moi dhidi ya kulipa ushuru,” akasema Bw Methu. Bila kutoa ithibati yoyote, maseneta hao waliochaguliwa kwa tiketi ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) kinachoogozwa na Rais Ruto mwenyewe walidai kuwa wafadhili wa Azimio walifanya mikutano katika maeneo ya Maasai Mara, Mlima Kenya na Mombasa “kupanga njama zao za kuyumbisha serikali ya Kenya Kwanza.” Kwa upande mwingine, Seneta wa Nandi Samson Cherargei ameanzisha kampeni ya kumshinikiza Rais Ruto kumvua Bw Kenyatta wadhifa wa kuwa mpatanishi mkuu katika mchakato wa kuleta amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). “Rais Ruto anafaa kumpiga kalamu Bw Kenyatta kama balozi wa amani wa Kenya nchini DRC. Hawawezi kuendelea kutekeleza wajibu wa kuleta amani katika nchi hiyo ihali anafadhili fujo humo nchini,” Bw Cherargei akasema kupitia Twitter. Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kenyatta Profesa Eric Masinde Aseka anasema kuwa kama Rais mstaafu, Bw Kenyatta anafaa kupewa heshima na mrithi wake. “Hizi vita ambavyo Uhuru anapigwa wakati huu bila shaka huenda ukaendeleza moto wa kisiasa ambao umeanzishwa na Bw Odinga kupitia mikutano yake ya kuipaka tope serikali ya Kenya Kwanza. Bilas haka Rais Ruto hataongoza kwa amani ikiwa ataonekana kama kiongozi anayeongozwa na nia na lengo la kulipiza kisiasa,” akaongeza mchanganuzi huyo wa masuala ya kisiasa.

    Tuesday 1 November 2022

    KOKO GAS COOKER TAKES BUNGOMA BY STORM!

     

    KOKO COOKER AT KSHS.3500     
    BY OUR TEAM
    A newly invented cooking  optional  apart from gas cylinder which has been in the market now for mor than two decades is facing a major blow after introduction of a new cooking machine which is so economical and people are running for it.

    ROUZY NELLY THE CHIEF AGENT BUNGOMA
    CONTACT:0791570802
    According to our research carried a week a go after meeting the chief agent Rouzy Nelly and some staff ,they explained to us how simple it is to be used by anybody anywhere.

    A product made from india has been now in the other part of the country  for now 3months.recently some of the  clients in bungoma have been  seriously looking for a way to dispose
    their cylinders for koko cooker.

    On interview with bungoma chief agent told us  some cartel are now taking the advantage of the market to kill the product by delivering half package  at expensive price leeding confusion of the  normal price of  kshs.3500

    Wednesday 8 June 2022

    ROGUE PASTOR JOHN LUTOMIA CORNING GAME EXPOSED

    John Lutomia
    A rogue missionary by the name John Lutomia  domaining  as John Lee is soliciting funds from hundreds of Kenyans in the name of helping them. According to our reliable source the man from luhya land who is now duping  the white men in the name of  helping valranable Africans  on different  capacity is believed  to be extracting money  as registration fee so as to be attended by the wazungus doctor which has remain as a dream to most victim .

    On the recent act the “man of God” had a bitter exchange of words in a whatsapp group  claiming to have helped achurch with kshs.80,000 that he even failed to  provide evidence. Also as we were making this report the rogue missionary has failed to pay back kshs.1300 to a cancer victim whom he duped  by the name simon oniang’o from vihiga county.

    In a whatsapp group the calprit who tried to outshine other members by posting  bundles of money  was put of as he pretend to  help by show of images of money.It is believed the man has been moving around trying  to dupe but it seems the milk is sour..
     

    Kenyans have been in the recent past fallen into such traps  after fake pastors who emails and get funds from abroad in the name of helping but turns up to be business practitioners  in the house of the lord. The matter is now being pursued by the authorities  to bring the culprit  to book.

    Tuesday 7 June 2022

    ROGUE PASTOR EXPOSED

                       

    JOHN LUTMIA 

    A rogue pastor who purport to be a missionary has been soliciting funds from innocent kenyans pretending to be helping them on different capacity. Sources told us the man by the name John Lutomia aka John Lee has is several occasion trying to use all means to extract  money from kenyans and emailing the Warungu's to be part of the mission. We have in possession credible information  about the rogue pastor that we shall publish by tomorrow

    Friday 27 May 2022

    KAKAMEGA THIEVES CAUGHT RED HANDED AFTER INTERVENTION OF DR.ALHAJI NZENZE WA NZENZE

    Kakamega thieves paraded with stolen goats call ALHAJJI NZENZE 0724779072

     If you thought witch doctors were only used to cause harm in society, you better reconsider your thoughts as a witch doctor in .Kakamega county, used his magical powers to track down livestock thieves and bring them to book.

    In an incident that brought activities in Emusanda village to standstill, three men who had been attacked by a swarm of bees emerged, carrying on their shoulders the stolen goat and a calf, as they bleated and mooed onomatopoeically, like the animals.
    This after the owner of the livestock Tolibert Imbiakah, 42, visited the benevolent witch doctor, after waking up two days ago only to find the animals missing from their pen.
    The witch doctor visited the man’s compound and conducted some rituals at the enclosure while mumbling some incantations, then left telling the owner not to worry as the thugs would come looking for him after two days.
    True to his words, today at 10am, three men Hillary Momanyi, 22, John Bukhazio 28 and Winston Mutiele, 20, emerged, their hands mobbed by swarms of bees as they carried the animals aloft bleating and mooing rhythmically.
    The owner of the animals emerged and positively identified his stock as the witch doctor took possession of his bees before handing over the apologetic thugs to authorities.
    The officer commanding Kakamega police station commended the witch doctor for helping him bring to book the two thugs, who were behind the spate of criminal activities in the area.
    We equally commend the witch doctor whose contacts we have reserved, for working for the good of the society. Find him on 0724779072

    ALHAJJI PAMBAZUKA NZENZE WA NZENZE CORNERS BUNGOMA THIEVE

    A thief who was conrnerd in  bungoma 0724779072

     A suspected  thief  in Bungoma shocked residents when he showed up at the victims house carrying a music system that he has stolen on his head.

    The suspected thief is seen walking meekly to the house from where he stole the television set. 

    Villagersfrom marakaru area  who have come to witness the daylight spectacle mill around the man, bemused and shocked.
    The man who  been called a menace by the villagers  had terrorized the whole village with his thievery until a witch doctor was contracted  by a man whose system  went missing.

    The system owner gave an ultimatum to the  thief to return the equipment. When his ultimatum was ignored the witch doctor went to work. After a series of rituals and incantations, the thief showed the next day at  the scene of crime with the system  stuck on his head.
    The thief had stolen among other electronic items, a generator, a radio and most recent, a TV.
    By the use of  bees dkt.pambazuka alhajji  started commanding the bees to look for the man that came to pass.

    The thief who has been stealing in bumula,webuye and other parts of bungoma near the Uganda- Kenya border spent the best part of an hour waiting for the system owner to show up.
    The Witch doctor, identified as Alhajji Pambazuka who is located in kanduyi demanded a fee of KSh 30,000 in order to remove the hoover that was still stuck on the thief's head. It took the efforts of sympathizers in the village to plead with the witch doctor and have the system removed.

    When a written agreement was agreed upon, the witch doctor reversed the spell in a special hut in the village and the the system  was removed from the man's head.
    The thief could not remember anything after the incidence  but recorded a feeling of light headed-ness and fatigue.  The Witch doctor has issued a stern warning to all the thieves in the  area telling them that they will be brought to book as he gave out his number as0724779072

    Friday 22 April 2022

    MWANAMUZIKI EDNA NABWIRE KUTOKA JIMBO LA BUNGOMA

    • Mwanamuziki anayeibukia bi.Edna Nabwire 
    • atakuwa anazindua album yake ya kwanza hivi karibuni.Edna ambaye ni mshirika wa dhehebu la Jesus Adoration Family yupo kwenye mikakati ya uzinduzi wa album hii yenye nyimbo tano.Anaelezea pakubwa kuhusu magumu ya maisha mbayo hayafai kukuvunja moyo ama kusababisha uchoke na maisha.Anaelezea kukataliwa na wanadamua laiyesimama nao wakati wa ugumu wao lakini walimgeuka.


     

    PICHA ZA RAIS KIBAKI UJANA NA UZEE HADI KIFO CHAKE.





     

    HISTORIA FUPI YA HAYATI MZEE MWAI KIBAKI [ 1931-2022]

     


    Mzee Emilio Mwai Kibaki alizaliwa tarehe 15 mwezi Novemba mwaka 1931, katika kijiji cha Gatuyaini Kaunti ya Nyeri. Rais wa tatu Mwai Kibaki akiwa kwenye hafla iliyopita.

    Wazazi wa Kibaki wakiwa marehemu Kibaki Githinji na marehemu Teresia Wanjiku, na alikuwa kitinda mimba katika familia ya watoto wanane. Kibaki alibatizwa Emilio Stanley na wamishenari wa ki-Italiano akiwa kijana, lakini amekuwa akitumia jina Mwai Kibaki katika maisha yake. Historia Kuhusu Elimu ya Mwai Kibaki Kibaki alianza elimu yake katika shule ya msingi ya Gatuyainĩ, kisha akajiunga na shule mishenari ya Karima na baadaye kujiunga na shule ya upili ya Mathari ambayo kwa sasa inajulikana kama Nyeri High.

    Hayati kibaki na hayati moi
    Nyakati za likizo za shule, Kibaki alikuwa manamba katika mabasi yaliyojulikana kama Othaya African Bus Union. Hayati Kibaki alijiunga na shule ya upili ya Mang’u mwaka wa 1947 hadi 1950. Alipita vizuri sana kwa kupata alama sita na hivyo kumsababisha kujiunga na chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda, alikosomea historia na sayansi kuhusu siasa. Baada ya kukamilisha elimu ya chuo kikuu, Kibaki aliajiriwa na kampuni ya kuuza mafuta ya Shell tawi la Uganda akiwa meneja wa mauzo. Baadaye Kibaki alijiunga chuo kikuu cha Uingereza kuhusu  uchumi, alikosomea usimamizi wa fedha za umma. Mnamo mwaka 1958, kibaki alirejea katika chuo kikuu cha Makerere ambapo alikuwa naibu wa mhadhiri katika kitengo cha uchumi wadhifa alioushikilia hadi mwaka 1961. Mwaka 1961,

    Kibaki alifunga pingu za maisha na Lucy Muthoni. Kazi alizofanya Mwai Kibaki Licha ya kuwa mbunge wa Othaya, Kibaki amewahi kuwa Naibu Waziri wa Fedha, Mwenyekiti wa Tume ya Mipango, Waziri wa Biashara na Viwanda, na Waziri wa Fedha. Moi alipoingia madarakani baada ya kifo cha Jomo Kenyatta, Kibaki aliteuliwa kuwa Makamu wa Rais. Kibaki

    Kibaki Mwaka 1988 Kibaki alianza kuwa na mvutano na Rais msaafu Moi. Mwaka huo alivuliwa Umakamu wa Rais na kupelekwa Wizara ya Afya. Mwaka 1991 Kibaki aligura chama cha KANU na kuanzisha chama cha Democratic Party. Katika uchaguzi wa Urais wa mwaka 1991, Kibaki alikuwa wa tatu na mwaka 1997 akaibuka wa pili. Kibaki aliingia mamlakani mwaka wa 2002, na kufaulu kumrithi Hayati Daniel Arap Moi aliyekuwa madarakani kwa miaka 24. Uchaguzi wa 28 Disemba 2007 ulimrejesha Kibaki kwa kipindi cha pili kama rais. Uchaguzi huu ulipingwa na chama cha upinzani, ODM na kusababisha kuundwa kwa serikali ya nusu mkate. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

    Friday 11 February 2022

    SAD:ANOTHER KENYAN DIES IN SAUDIA.


     Kiminini residents are mourning the death of their daughter Stella Wachie.According to the sources Stella died after complaining for sometimes that he has tried to reach out for medication but all in vain.Following her death the residents and facebookers has comeout sending messages to the berieved family and warnig others not to go their in the name of greener pastures .

    Her close friend Lilian Simiyu whom she has been communicating to  t broke the news through her facebook account  terming it as disbelief on what has just happened.More than 3000 kenyan ladies lleave for Saudia,Qatar,and other Arab countries looking for better lives in their future through agencies.A two years contract  has turn negative as few gets it right to their future.
    Plans are already underway to  ferry the body of Stella Wachie back to the country for burial arrangment.
    .


    Tuesday 10 August 2021

    UHURU MEETS OPPOSITION CHIEFS WHO DESOLVED NASA


    By our team.

     President Uhuru kenyatta for the second time has men the opposition team as the discuss awy forward on how to be one coming 2022.Uhuru is serving for the second time has been in different occasion  reiterated that he might support a candidate from opposition sidelining his deputy william ruto who has been termed as an enemy of unity.

    In a disclosed meetin that borught together odm leader raila odinga,kalonzo musyoka of wiper ,moses wetangula of ford kenya ,,anc leader musalia mudavadi nad gedion moi of kanu all are looking forward  to work as one team where analyst  predicts it will be a landslide.Ruto is also preparing  to run for 2022 presidential race  in UDA ticket