HABARI KUU:

GACHAGUA ALIYEMUITA RAILA MAJINA SASA AMMEZEA MATE 2027..//..LUSAKA AMKAUKIA SENETA ONYONKA KWA KUMUITA MPUMBAVU!..//..GEN Z WA BANGALADESH WAVAMIA IKULU YA WAZIRI MKUU..//..AJALI SACHANGWAN HUKU WANAFUNZI 25 NA WAALIMU 3 WAKIPATA MAJERAHA MABAYA..//..MGOMBEA urais wa Chama cha Democrat Kamala Harris amemteua Gavana wa Minnesota Tim Walz kuwa mgombea mwenza wake katika uchaguzi wa urais wa Novemba 5, mwaka huu.// AMERIKA imeonya serikali ya Kenya Kwanza dhidi ya kutumia nguvu kupita kiasi kukabili waandamanaji na kutaka hatua za haraka zichukuliwe dhidi ya ukiukaji wa haki za binadamu..//GAVANA wa Meru Kawira Mwangaza anataka Mahakama Kuu kuwahukumu maafisa wawili wa bunge la kaunti na MCA aliyeteuliwa kwa madai walidharau mahakama, akisema walipuuza maagizo ya korti kwa kukusudia kumtimua kwa mara ya tano.

Sunday 27 December 2015

MEET THE VETERANT RADIO PRESENTER KEN INDIMULI FROM NYOTA FM

His voice on air may make you wonder who he really is.Ken Indimuli who hails from westen kenya mumias region is counting more than a decade in this field of  broadcasting commanding  the airwaves in the region.
Indimuli who is known for his boldness has made his name all through kenya  and becoming a pioneer in the field of broadcasting..A  young energetic indimuli has changed the social and political views especial in western kenya  through radio as he understand the game well.
In his morning show NYOTA ASUBUHI  which runs as from  5am to 10am has be come so popular the way he handles matters  socially ,economically and economically.He  is  a man who talk fearlessly regardless of the position.
Speaking to the COUNTYWATCHKENYA Indimuli said he talk only on things that he has enough evidence and clues on the matter.
Recently he was mentioned as  one of the most authoritative presenters in the region topping others.He works along  Fred Wesonga  and Comedian Fulu Indimuli has also worked with Saharafm in kisumu,West fm bungoma ,The government radio KBC.
Watch this space to know mor about ken indimuli 

No comments:

Post a Comment