HABARI KUU:

GACHAGUA ALIYEMUITA RAILA MAJINA SASA AMMEZEA MATE 2027..//..LUSAKA AMKAUKIA SENETA ONYONKA KWA KUMUITA MPUMBAVU!..//..GEN Z WA BANGALADESH WAVAMIA IKULU YA WAZIRI MKUU..//..AJALI SACHANGWAN HUKU WANAFUNZI 25 NA WAALIMU 3 WAKIPATA MAJERAHA MABAYA..//..MGOMBEA urais wa Chama cha Democrat Kamala Harris amemteua Gavana wa Minnesota Tim Walz kuwa mgombea mwenza wake katika uchaguzi wa urais wa Novemba 5, mwaka huu.// AMERIKA imeonya serikali ya Kenya Kwanza dhidi ya kutumia nguvu kupita kiasi kukabili waandamanaji na kutaka hatua za haraka zichukuliwe dhidi ya ukiukaji wa haki za binadamu..//GAVANA wa Meru Kawira Mwangaza anataka Mahakama Kuu kuwahukumu maafisa wawili wa bunge la kaunti na MCA aliyeteuliwa kwa madai walidharau mahakama, akisema walipuuza maagizo ya korti kwa kukusudia kumtimua kwa mara ya tano.

Friday 19 July 2024

RAIS RUTO AKOSOLEWA KWENYE BARAZA LAKE JIPYA LA WATU 11 AKIWAHUSISHA WALIOFURUSHWA

Rais william ruto hatimaye ametangaza baraza la mawazi ambayo kwa sasa inakosolewa pakubwa na watu mbalimbali.je atayaweza Interior - Kithure Kindiki Health - Dr. Debra Mulongo Barasa Public Works - Alice Wahome Education - Julius Ogamba Defence - Aden Duale Agriculture - Dr. Andrew Karanja Environment - Soipan Tuya Water - Eric Muriithi Roads - Davis Chirchir ICT - Dr. Margaret Ndungu AG - Rebecca Miano

No comments:

Post a Comment