HABARI KUU:

Mamia ya wanafunzi, wazazi, walimu na wahitimu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St. Peters Mwiruti katika Kaunti Ndogo ya Bumula, Kaunti ya Bungoma, walijaa katika uwanja wa shule kusherehekea baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mtihani wa KCSE wa mwaka 2025, ambapo shule hiyo ilivunja rekodi yake ya awali ya kitaaluma..//..NAIROBI, KENYA, Alhamisi, Januari 1, 2026 – Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM), Oburu Oginga, ametangaza wazi kuwa atakuwa mgombea wa urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa 2027 endapo ODM itaamua kugombea pekee bila kuingia muungano na vyama vingine..//..NAIROBI, KENYA, Jumanne, Januari 6, 2026 – Zaidi ya viongozi 42 wa matawi ya vyama vya wafanyakazi vilivyoambatanishwa na COTU-K wametangaza kumunga mkono mwenyekiti Francis Atwoli wakati anapojitayarisha kuwania muhula mwingine, utakaomfikisha zaidi ya miongo miwili madarakani.

Wednesday, 30 December 2015

CHARGES ON EXAM CHEATING

Kenya National Examinations Council Chief Executive Officer Joseph Kivilu on Wednesday said 157 people have been prosecuted for engaging in examinations irregularities.
Speaking during the release of Kenya Certificate of Primary Education (KCPE) results, Mr Kivilu said those arrested and charged over cheating include head teachers, their deputies, university students, parents, police officers and candidates.
He defended credibility of the results saying all suspected examination malpractices will be investigated and dealt with accordingly.
Mr Kivilu recently said there would be no ranking and that the mode of releasing the results would be similar to last year’s.
Education Cabinet Secretary Fred Matiangi released the Standard Eight examination results done by 937,467 candidates

No comments:

Post a Comment