HABARI KUU:

GACHAGUA ALIYEMUITA RAILA MAJINA SASA AMMEZEA MATE 2027..//..LUSAKA AMKAUKIA SENETA ONYONKA KWA KUMUITA MPUMBAVU!..//..GEN Z WA BANGALADESH WAVAMIA IKULU YA WAZIRI MKUU..//..AJALI SACHANGWAN HUKU WANAFUNZI 25 NA WAALIMU 3 WAKIPATA MAJERAHA MABAYA..//..MGOMBEA urais wa Chama cha Democrat Kamala Harris amemteua Gavana wa Minnesota Tim Walz kuwa mgombea mwenza wake katika uchaguzi wa urais wa Novemba 5, mwaka huu.// AMERIKA imeonya serikali ya Kenya Kwanza dhidi ya kutumia nguvu kupita kiasi kukabili waandamanaji na kutaka hatua za haraka zichukuliwe dhidi ya ukiukaji wa haki za binadamu..//GAVANA wa Meru Kawira Mwangaza anataka Mahakama Kuu kuwahukumu maafisa wawili wa bunge la kaunti na MCA aliyeteuliwa kwa madai walidharau mahakama, akisema walipuuza maagizo ya korti kwa kukusudia kumtimua kwa mara ya tano.

Wednesday 30 December 2015

KCPE OUT!

Education Cabinet Secretary Fred Matiang'i on Wednesday released the 2015 Kenya Certificate of Primary Education (KCPE) results.
He said 2,709 cases of cheating were reported across the country and warned that stern action will be taken against those who engage in examination irregularities.
“We will stop at nothing to stop cheating,” he said.
He also announced that the mean score for public schools dropped by seven points while performance by private institutions improved.
The mean score for public schools dropped from 187.8 in 2014 to 180.7 in 2015 while private schools recorded an improvement from 229.4 in 2014 to 230 in 2015.
Dr Matiang'i also announced that a new curriculum that will reshape Kenya’s education system will be launched by President Uhuru Kenyatta in January 2016.
He said the overhaul will ensure the education system meets the country’s needs.

No comments:

Post a Comment