HABARI KUU:

Mamia ya wanafunzi, wazazi, walimu na wahitimu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St. Peters Mwiruti katika Kaunti Ndogo ya Bumula, Kaunti ya Bungoma, walijaa katika uwanja wa shule kusherehekea baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mtihani wa KCSE wa mwaka 2025, ambapo shule hiyo ilivunja rekodi yake ya awali ya kitaaluma..//..NAIROBI, KENYA, Alhamisi, Januari 1, 2026 – Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM), Oburu Oginga, ametangaza wazi kuwa atakuwa mgombea wa urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa 2027 endapo ODM itaamua kugombea pekee bila kuingia muungano na vyama vingine..//..NAIROBI, KENYA, Jumanne, Januari 6, 2026 – Zaidi ya viongozi 42 wa matawi ya vyama vya wafanyakazi vilivyoambatanishwa na COTU-K wametangaza kumunga mkono mwenyekiti Francis Atwoli wakati anapojitayarisha kuwania muhula mwingine, utakaomfikisha zaidi ya miongo miwili madarakani.

Thursday, 4 February 2016

COURT LIFT SUMMON OVER FORMER TRANSPORT CS KAMAU

A court has lifted the summons to former Transport CS Michael Kamau over abuse of office after receiving his original medical report.
Milimani senior principal magistrate Lawrence Mugambi said on Thursday that the documents show Kamau is unwell and cannot appear in court.
Mugambi had issued summons for the ex-CS to appear in court today saying documents that had been tabled before him were not genuine.
Kamau's lawyer had told the magistrate on Wednesday that he had returned from out of the country but was unwell.
The former CS, who was suspended in March 2015 and replaced in November 2015, faces five charges of abuse of office and irregular use of public funds.
He was also accused of failing to comply with procedures by ignoring the design of the Kamukuywa-Kapsokwony-Sirisia road, leading to a loss of Sh33.3 million. This was while he served as Permanent Secretary in the Roads ministry.
Kamau was charged in June 2015 with abuse of office and failure to follow the procurement rules.
He was released on Sh1 million cash bail after he denied all the charges levelled against him.
The case will be heard on March 4.

No comments:

Post a Comment