HABARI KUU:

Mamia ya wanafunzi, wazazi, walimu na wahitimu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St. Peters Mwiruti katika Kaunti Ndogo ya Bumula, Kaunti ya Bungoma, walijaa katika uwanja wa shule kusherehekea baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mtihani wa KCSE wa mwaka 2025, ambapo shule hiyo ilivunja rekodi yake ya awali ya kitaaluma..//..NAIROBI, KENYA, Alhamisi, Januari 1, 2026 – Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM), Oburu Oginga, ametangaza wazi kuwa atakuwa mgombea wa urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa 2027 endapo ODM itaamua kugombea pekee bila kuingia muungano na vyama vingine..//..NAIROBI, KENYA, Jumanne, Januari 6, 2026 – Zaidi ya viongozi 42 wa matawi ya vyama vya wafanyakazi vilivyoambatanishwa na COTU-K wametangaza kumunga mkono mwenyekiti Francis Atwoli wakati anapojitayarisha kuwania muhula mwingine, utakaomfikisha zaidi ya miongo miwili madarakani.

Friday, 1 January 2016

KISUMU GOVERNOR ASK THE MIGHTY PROPHET TO PRAY FOR THE NATION

Kisumu governor has called on Prophet David Owuor to pray for the nation in his three day rally at the Kibos grounds in Kisumu.
“We have seen miracles through his prayers and I am calling him to pray for the country,” he said while welcoming Owuor to the city on Thursday.
Prophet Owuor kicked off a three day crusade in Kisumu on Thursday with thousands of faithfuls braving the cold and rains.
The crowds arrived arrived in Kisumu for the New Year prayers to be led by Owuor from Friday last week at the Kibos grounds.
Guests came from as far Uganda, Tanzania, Burundi, Rwanda and Europe.
There is tight security as more than 1,200 police officers, including anti-terror experts were deployed to the venue and town.
Kisumu county commissioner John Elungata and Assistant IG Joseph Keitany said acts of lawlessness will to be allowed. They said police are on high alert to curb any crime.
Owuor arrived in Kisumu on Wednesday evening with a convoy of sleek cars escorted by police under tight security.
Last year more than 10,000 people, including those from Rwanda, Tanzania, Uganda and Europe, attended Owuor’s crusade in Kisumu.

No comments:

Post a Comment