HABARI KUU:

Mamia ya wanafunzi, wazazi, walimu na wahitimu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St. Peters Mwiruti katika Kaunti Ndogo ya Bumula, Kaunti ya Bungoma, walijaa katika uwanja wa shule kusherehekea baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mtihani wa KCSE wa mwaka 2025, ambapo shule hiyo ilivunja rekodi yake ya awali ya kitaaluma..//..NAIROBI, KENYA, Alhamisi, Januari 1, 2026 – Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM), Oburu Oginga, ametangaza wazi kuwa atakuwa mgombea wa urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa 2027 endapo ODM itaamua kugombea pekee bila kuingia muungano na vyama vingine..//..NAIROBI, KENYA, Jumanne, Januari 6, 2026 – Zaidi ya viongozi 42 wa matawi ya vyama vya wafanyakazi vilivyoambatanishwa na COTU-K wametangaza kumunga mkono mwenyekiti Francis Atwoli wakati anapojitayarisha kuwania muhula mwingine, utakaomfikisha zaidi ya miongo miwili madarakani.

Tuesday, 19 January 2016

AFANDE LINDA OKELLO DEMOTED!

Officer Linda Okello who gained popularity over a skirt deemed immodest, has been demoted following corruption allegations.
Okello shot to fame when images of her in the skirt went viral on social media. The officer was later voted one of the woman representatives in the service.
She landed in trouble when Sh1,000 was found in her pocket during a sting operation last Saturday on officers receiving bribes at Kirigiti area in Kiambu.
Two of her colleagues escaped but Okello stayed put. Traffic commandant Jacinta Muthoni sanctioned disciplinary action against her.
Okello was demoted from a corporal to a constable. The decision has drawn mixed reactions from the rank and file in the police force.
An officer who sought anonymity said it was unfair to demote Okello without evidence of corruption. Others want her charged in court.
Reached for comment on Tuesday, Muthoni told thecountywatchkenya: "I cannot comment on administrative issues. Who leaked the information? I will not comment; ask the higher authorities."

No comments:

Post a Comment