HABARI KUU:

Mamia ya wanafunzi, wazazi, walimu na wahitimu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St. Peters Mwiruti katika Kaunti Ndogo ya Bumula, Kaunti ya Bungoma, walijaa katika uwanja wa shule kusherehekea baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mtihani wa KCSE wa mwaka 2025, ambapo shule hiyo ilivunja rekodi yake ya awali ya kitaaluma..//..NAIROBI, KENYA, Alhamisi, Januari 1, 2026 – Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM), Oburu Oginga, ametangaza wazi kuwa atakuwa mgombea wa urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa 2027 endapo ODM itaamua kugombea pekee bila kuingia muungano na vyama vingine..//..NAIROBI, KENYA, Jumanne, Januari 6, 2026 – Zaidi ya viongozi 42 wa matawi ya vyama vya wafanyakazi vilivyoambatanishwa na COTU-K wametangaza kumunga mkono mwenyekiti Francis Atwoli wakati anapojitayarisha kuwania muhula mwingine, utakaomfikisha zaidi ya miongo miwili madarakani.

Thursday, 24 December 2015

SHOPPERS GOES FOR KHETIAS SUPERMARKET FOR BEING CHEAP THIS FESTIVE.

As the Christmas gets to its climax, supermarkets are trying their best to get the best from shoppers.Here in bungoma Kenya the most popular supermarket khetia's is real making the ends meet for the shoppers with little money for their eve preparation.khetias is known for friendly prices and prizes that makes buyers not think of loosing anything.
Recently it introduced its welknow competion CHOTAKUCHOTA PROMOTION that allows shoppers with goods worth kshs.500 and over to enter into the draw which runs for two months.
Other supermarkets like UKWALA,NAKUMATT and NAIVAS are also trying despite of their unfriendly prices.Bungoma is now bcoming most of highly attracted counties in business administration setups 

No comments:

Post a Comment