HABARI KUU:

Mamia ya wanafunzi, wazazi, walimu na wahitimu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St. Peters Mwiruti katika Kaunti Ndogo ya Bumula, Kaunti ya Bungoma, walijaa katika uwanja wa shule kusherehekea baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mtihani wa KCSE wa mwaka 2025, ambapo shule hiyo ilivunja rekodi yake ya awali ya kitaaluma..//..NAIROBI, KENYA, Alhamisi, Januari 1, 2026 – Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM), Oburu Oginga, ametangaza wazi kuwa atakuwa mgombea wa urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa 2027 endapo ODM itaamua kugombea pekee bila kuingia muungano na vyama vingine..//..NAIROBI, KENYA, Jumanne, Januari 6, 2026 – Zaidi ya viongozi 42 wa matawi ya vyama vya wafanyakazi vilivyoambatanishwa na COTU-K wametangaza kumunga mkono mwenyekiti Francis Atwoli wakati anapojitayarisha kuwania muhula mwingine, utakaomfikisha zaidi ya miongo miwili madarakani.

Wednesday, 30 December 2015

Pastor sets himself on fire after missing spot in Prophet Owuor's Kisumu convoy

A pastor set himself on fire in his Nairobi house on Tuesday upon learning he would not be in Prophet Owuor's convoy to a crusade in Kisumu.
Police said preliminary investigations showed pastor Fred Otieno attempted suicide after he was assigned duty in Kibos ahead of Owuor's trip on Wednesday.
A security officer and reverend only identified as Gitonga said he noticed smoke emanating from Otieno's house at Runda Mumwe estate, gate 128.
"We rushed there and found the pastor [who serves at Kings Outreach Ministries] unconscious in his bedroom." he told officers from Kiambu police station.
Kiambu police boss Steven Ng'etich said Otieno's clothes were in a heap that was on fire and that a 13-kg gas cylinder was on.
Ng'etich said the pastor suffered burns to the legs, hands and forehead in the 10am incident but is in stable condition at Kenyatta National Hospital.
Thousands of Christians are expected to attend the newyear prayers
going on until January 4. Some 1,200 police officers were to be deployed to keep guard.
In 2014, more than 10,000 people, including those from Rwanda, Tanzania, Uganda and Europe, attended Owuor’s gathering in Kisumu.

No comments:

Post a Comment