HABARI KUU:

GACHAGUA ALIYEMUITA RAILA MAJINA SASA AMMEZEA MATE 2027..//..LUSAKA AMKAUKIA SENETA ONYONKA KWA KUMUITA MPUMBAVU!..//..GEN Z WA BANGALADESH WAVAMIA IKULU YA WAZIRI MKUU..//..AJALI SACHANGWAN HUKU WANAFUNZI 25 NA WAALIMU 3 WAKIPATA MAJERAHA MABAYA..//..MGOMBEA urais wa Chama cha Democrat Kamala Harris amemteua Gavana wa Minnesota Tim Walz kuwa mgombea mwenza wake katika uchaguzi wa urais wa Novemba 5, mwaka huu.// AMERIKA imeonya serikali ya Kenya Kwanza dhidi ya kutumia nguvu kupita kiasi kukabili waandamanaji na kutaka hatua za haraka zichukuliwe dhidi ya ukiukaji wa haki za binadamu..//GAVANA wa Meru Kawira Mwangaza anataka Mahakama Kuu kuwahukumu maafisa wawili wa bunge la kaunti na MCA aliyeteuliwa kwa madai walidharau mahakama, akisema walipuuza maagizo ya korti kwa kukusudia kumtimua kwa mara ya tano.

Thursday 31 December 2015

CORD APPOINT A TEAM OF EXPERTS AHEAD OF 2017 ELECTIONS TO IDENTYFY FLAG BEARERS

CORD co-principal Moses Wetang’ula yesterday said the opposition has appointed a team of experts to identify their joint presidential candidate this year.
He said the team will help to find a workable formula through which one of the Cord presidential aspirants will be picked to run against Jubilee’s President Uhuru Kenyatta.
“This time around we are well prepared and a team is already working on that issue so we can move forward this new year,” Wetang’ula said.
The Bungoma senator was speaking in Eldoret town, where he met Ford Kenya officials from Uasin Gishu and Trans Nzoia counties.
Wetang’ula said he is in the presidential race with Cord leader Raila Odinga, Wiper leader Kalonzo Musyoka and former Justice minister Martha Karua.
“What I can assure you is that whoever will be picked, the opposition will beat Jubilee because they have completely mismanaged the country,” he said.
Wetang’ula blamed Uhuru and Deputy President William Ruto for the country’s economic problems caused by increased corruption.

No comments:

Post a Comment